KUELEKEA KOMBE LA DUNIA : Serengeti Girls waanza vizuri na SFC
Serengeti Girls wametoka suluhu na timu ya SFC developments squad katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Snows, Totton Southampton Uingereza
Wachezaji wa Serengeti Girls wamekuwa wakijinoa kwa mazoezi ya gym katika hoteli ya Village hotel club, Southampton, Uingereza kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika nchini India kuanzia Oktoba 14 hadi 30 mwaka huu.
KUELEKEA KOMBE LA DUNIA : Serengeti Girls waanza vizuri na SFC
Reviewed by Fahadi Msuya
on
September 28, 2022
Rating:
Reviewed by Fahadi Msuya
on
September 28, 2022
Rating:




Post a Comment