ORYX GASI TANZANIA YAPELEKA MAFUNZO USALAMA WA GESI MKOANI KILIMANJARO
Mkurugenzi wa Kampuni ya Oryx Gas Tanzania Araman Benoite akitoa maelekezo ya namna ya kuwasha moto kwenye jiko la mtungi wa gesi ya Oryx kwa washiriki wa mafunzo ya usalama kuhusu nishati ya gesi ya kupikia yaliyofanyika kwa washiriki 700 kutoka kwenye Wilaya zote saba za mkoa wa Kilimanjaro.Mafunzo hayo yameandaliwa na Oryx Gas kwa kushirikiana na Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Kilimanjaro Shelly Raymond. Mbali ya mafunzo pia kampuni hiyo imekabidhi mitungi 700 na majiko yake kwa viongozi hao wa kata pamoja na wananchi.
ORYX GASI TANZANIA YAPELEKA MAFUNZO USALAMA WA GESI MKOANI KILIMANJARO
Reviewed by Fahadi Msuya
on
December 29, 2022
Rating:
Reviewed by Fahadi Msuya
on
December 29, 2022
Rating:

Post a Comment