Header AD

header ads

DKT. BITEKO AWASILI MKOANI GEITA



Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Oktoba 5, 2023 amewasili mkoani Geita kwa ziara ya kikazi.

Mara baada ya kuwasili, Dkt. Biteko amepokelewa na Kamati ya ulinzi ya Mkoa wa Geita ikiongozwa na Mhe. Martine Shigella, Mkuu wa Mkoa huo na ujumbe wake.
DKT. BITEKO AWASILI MKOANI GEITA DKT. BITEKO AWASILI MKOANI GEITA Reviewed by Fahadi Msuya on October 05, 2023 Rating: 5