Rais Samia Akutana na Malaigwanani wa Kimasai Katika Ikulu Ndogo ya Arusha

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na viongozi wa Serikali na Malaigwanani wa jamii ya Kimasai kutoka Ngorongoro na maeneo jirani katika Ikulu ndogo ya Arusha, tarehe 01 Desemba 2024. 🇹🇿
NextGen Digital... Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...