BRELA YASHIRIKI MAONESHO YA BIASHARA MARA
Afisa Sheria, Bi. Neema Nyadzi kutoka Wakala wa Usajili na Biashara na Leseni (BRELA), akitoa usaidizi wa kitehama kwa Bw. Simon Kokinda namna ya kuhuisha kampuni yake alipotembelea banda la BRELA kwenye Maonesho ya Biashara ya Mara International Business Expo 2022, yanayofanyika viwanja vya Shule ya Msingi ya Mukendo, katika mji wa Musoma, mkoani Mara. BRELA inaendelea kutoa huduma kwenye maonesho hayo hadi tarehe 11 Septemba, 2022.
Afisa Leseni, Bw. Rajab Chambega kutoka Wakala wa Usajili na Biashara na Leseni (BRELA), akitoa usaidizi wa kitehama kwa Bw. Raymond Malima, namna ya kuhuisha jina la biashara alipotembelea banda la BRELA kwenye Maonesho ya Biashara ya Mara International Business Expo 2022, yanayofanyika viwanja vya Shule ya Msingi ya Mukendo, katika mji wa Musoma, mkoani Mara. BRELA inaendelea kutoa huduma kwenye maonesho hayo hadi tarehe 11 Septemba, 2022.
BRELA YASHIRIKI MAONESHO YA BIASHARA MARA
Reviewed by Fahadi Msuya
on
September 04, 2022
Rating:
Reviewed by Fahadi Msuya
on
September 04, 2022
Rating:



Post a Comment