Header AD

header ads

NAIBU WAZIRI CHANDE AIPONGEZA NIC




Naibu Waziri wa Fedha na Mipango ,Mhe. Hamad Hassan Chande amelipongeza shirika la Bima la Taifa NIC kwa utendaji hasa katika eneo la kulipa madai kwa wakati.

Kauli hiyo imetolewa jijini Arusha katika Mkutano wa Mwaka wa Wakaguzi wa Ndani alipotembelea  banda  la NIC.

NIC Insurance imeshiriki  mkutano huo kutanua wigo wa biashara na kujenga mahusiano ya kibiashara  na sekta wakaguzi wa ndani katika  kukuza uchumi wa  Taifa.



NAIBU WAZIRI CHANDE AIPONGEZA NIC NAIBU WAZIRI CHANDE AIPONGEZA NIC Reviewed by Fahadi Msuya on September 12, 2022 Rating: 5