Header AD

header ads

VIKOSI VYA KUZIMA MOTO MLIMA KILIMANJARO VYAENDELEA KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA





Waziri wa Maliasili na Utalii  Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa Mkoani Kilimanjaro, amepokea taarifa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Eliamani Sedoyeka kuhusu maendeleo ya zoezi la uzimaji moto katika Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro kupitia  picha za angani (Satelite Image) zinazoonesha mafanikio makubwa ya zoezi la uzimaji wa Moto katika mlima huo.



VIKOSI VYA KUZIMA MOTO MLIMA KILIMANJARO VYAENDELEA KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA VIKOSI VYA KUZIMA MOTO MLIMA KILIMANJARO VYAENDELEA KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA Reviewed by Fahadi Msuya on November 02, 2022 Rating: 5