Header AD

header ads

Timu ya Friends of Tulia Trust yashindwa kutamba kwenye ligi ya Sodo



Na Beatrice Kaiza

TIMU ya Friends of Tulia trust wachezea kichapo na kishindwa kuendelea kwenye  ligi ya Sodo 4 kwa upande wa Wanawake na  Wanaume. 

Nakushindwa kufuzu kuendelea katika michuano hivyo kutoka kwa timu ya Espanyol.  

Akizungumza  na waandishi wa habari, leo March 01, 2023, Afisa Habari wa Kampuni ya Betika Juvenalius Rugambwa amesema kuwa lengo la mchezo wa Sodo 4 Climate ni kutuza mazingira na kuweka jiji safi hususani maeneo ya Fukwe za Bahari  Coco Beach.

Sodo upande wa wanawake Friends of tulia 1-2 Espanyol, katika sodo wanaume friends of Tulia Trust 0-2 Espanyol. Hivyo Friends of tulia trust tayari  wameshindwa kufuzu mashindano hayo ".



Timu ya Friends of Tulia Trust yashindwa kutamba kwenye ligi ya Sodo Timu ya Friends of Tulia Trust yashindwa kutamba kwenye ligi ya  Sodo Reviewed by Fahadi Msuya on March 01, 2023 Rating: 5